iqna

IQNA

tafsri noor
Hujjatul Islam Muhsin Qara’ati
TEHRAN (IQNA) – Mwalimu na mfasiri mashuhuri wa Qur’ani Tukufu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasema tafsiri za Qur’ani Tukufu zinapaswa kueleweka kwa umma na pia wakati huo huo kuwa na mvuto kwa wataalamu.
Habari ID: 3475687    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/27